Thursday, December 4th, 2008

MAENDELEO YA UJENZI WA JENGO LA PIUMA.

 

Tunashushukuru kwa misaada ya wafadhili na marafiki wote wa PIUMA kwa  michango yenu mnayotoa kwa ajili ya kuisaidia PIUMA kwa mambo mbalimbali.

Mpaka sasa jengo letu la PIUMA lenye vyumba Tisa, vyumba vilivyoisha kusakafiwa ni saba  na veranda imesakafiwa nusu, Vyumba vlilvyofungwa milango ni vyumba vine.

 

Mahitaji ya kuendeleza Ujenzi wa jengo la PIUMA.

-         Mifuko 25 ya sementi kwa ajili ya kuendelea na kusakafia.

-         Kufakafia vyumba viwili na kumalizia veranda

-         Kokoto trip 2

-         Mchanga trip 2

-         Kufunga fremu na Milango ya vyumba vitano.

-         Malipo kwa ajili ya fundi wa kujenga

 

Tunahitaji msaada wa fedha kwa ajili ya kuendelea na ujenzi, kumalizia  kusakafia vyumba vilivyobaki, kufunga milango, kupiga dari, kuingiza umeme na maji.

 

“Kamati ya Ujenzi ilisema”  Pamoja na nguvu kazi zetu  wanachama bado tunahitaji msaada wa fedha kwa ajili ya kuweza kukamilisha jengo hili.

Jengo letu likiisha tutahamisha ofisi zote zitakuwa ndani ya jengo letu, kwani majengo yote tunayotumia kwa ajili ya ofisi  na kituo cha VCT tumepanga na tunalipia gharama kubwa sana, hii inatuumiza sana sisi wanaPIUMA ”kamati ilisema”

Reported by Witness.

 

 

 

 

3 Responses to “MAENDELEO YA UJENZI WA JENGO LA PIUMA.”


  1. Royal Orr says:

    Thanks for the update Witness!


  2. Gottfried Mernyi says:

    thank you for the information. Good luck for further efforts !


  3. Asifiwe Malila says:

    PIUMA progress is a challenge to anybody who is serious. Wishing you all the best.

Leave a Reply