<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	>
<channel>
	<title>Comments on: WILAYA YA MAKETE YAPATA MKUU MPYA WA WILAYA.</title>
	<atom:link href="http://www.piuma-simba.org/site/2009/05/14/wilaya-ya-makete-wapata-mkuu-wa-wilaya-mpya/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://www.piuma-simba.org/site/2009/05/14/wilaya-ya-makete-wapata-mkuu-wa-wilaya-mpya/</link>
	<description>Just another WordPress weblog</description>
	<pubDate>Sat, 04 Feb 2012 18:44:14 +0000</pubDate>
	<generator>http://wordpress.org/?v=2.6</generator>
		<item>
		<title>By: malila</title>
		<link>http://www.piuma-simba.org/site/2009/05/14/wilaya-ya-makete-wapata-mkuu-wa-wilaya-mpya/#comment-1730</link>
		<dc:creator>malila</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 14 May 2009 13:57:07 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.piuma-simba.org/site/?p=455#comment-1730</guid>
		<description>Naamini Mkuu wa Wilaya mpya hatatuangusha kabisa, kuna mambo yako ndani ya uwezo wetu wenyewe Wanamakete,mengine yanahitaji mkono wa DC na mengine yanahitaji umoja kati ya DC/halimashauri na sisi. Kufyatua matofali ya ujenzi wa Shule/zahanati,kupeleka watoto shule,kuacha ngono zembe,kufanya kazi kwa bidii nk ni yetu sisi. Ila kubeba bati toka Makete mpaka Usililo,kutafuta walimu/waganga wa zahanati na kuwafikisha Usililo,kuhakikisha madaraja vijijini yapo salama nk ni kazi yetu sote,yaani sisi na timu nzima ya DC. Dc/Halimashauri anaweza kuleta vifaa,sisi tukaacha kuvilinda vikapotea au Mwalimu kaja kijijini sisi hatupeleki watoto shule nk. Karibu sana DC mpya.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Naamini Mkuu wa Wilaya mpya hatatuangusha kabisa, kuna mambo yako ndani ya uwezo wetu wenyewe Wanamakete,mengine yanahitaji mkono wa DC na mengine yanahitaji umoja kati ya DC/halimashauri na sisi. Kufyatua matofali ya ujenzi wa Shule/zahanati,kupeleka watoto shule,kuacha ngono zembe,kufanya kazi kwa bidii nk ni yetu sisi. Ila kubeba bati toka Makete mpaka Usililo,kutafuta walimu/waganga wa zahanati na kuwafikisha Usililo,kuhakikisha madaraja vijijini yapo salama nk ni kazi yetu sote,yaani sisi na timu nzima ya DC. Dc/Halimashauri anaweza kuleta vifaa,sisi tukaacha kuvilinda vikapotea au Mwalimu kaja kijijini sisi hatupeleki watoto shule nk. Karibu sana DC mpya.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>

