<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	>
<channel>
	<title>Comments on: Upimaji wa Aridhi</title>
	<atom:link href="http://www.piuma-simba.org/site/2009/08/28/upimaji-wa-aridhi/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://www.piuma-simba.org/site/2009/08/28/upimaji-wa-aridhi/</link>
	<description>Just another WordPress weblog</description>
	<pubDate>Sat, 04 Feb 2012 18:09:09 +0000</pubDate>
	<generator>http://wordpress.org/?v=2.6</generator>
		<item>
		<title>By: malila</title>
		<link>http://www.piuma-simba.org/site/2009/08/28/upimaji-wa-aridhi/#comment-4147</link>
		<dc:creator>malila</dc:creator>
		<pubDate>Tue, 01 Sep 2009 15:24:42 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.piuma-simba.org/site/?p=729#comment-4147</guid>
		<description>Mambo ninayofahamu kuhusu Makete ni haya, lami itajengwa toka njombe mpaka Isyonje Mbeya,lini mi sijui(nasikia soon wataanza pale Mang`oto). Kitulo patakuwa recreation area ya kimataifa baada ya Uwanja wa Ndege wa Songwe kukamilika. Sijui nini kinaendelea kuhusu Umeme wa maji na madini, ila siku moja umeme mkubwa utatoka Bulongwa. Kiwango cha miti kilichopandwa Makete kinatia moyo sana. Shamba kubwa la ng`ombe litahamia Ibaga. Tayari kuna fununu za kilimo cha mashamba ya maua huko makete,sijui sehemu pamekuwa- located. Nawasihi kwa nguvu zangu zote,hakuna kipande cha ardhi kilichoko makete kisicho na thamani.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Mambo ninayofahamu kuhusu Makete ni haya, lami itajengwa toka njombe mpaka Isyonje Mbeya,lini mi sijui(nasikia soon wataanza pale Mang`oto). Kitulo patakuwa recreation area ya kimataifa baada ya Uwanja wa Ndege wa Songwe kukamilika. Sijui nini kinaendelea kuhusu Umeme wa maji na madini, ila siku moja umeme mkubwa utatoka Bulongwa. Kiwango cha miti kilichopandwa Makete kinatia moyo sana. Shamba kubwa la ng`ombe litahamia Ibaga. Tayari kuna fununu za kilimo cha mashamba ya maua huko makete,sijui sehemu pamekuwa- located. Nawasihi kwa nguvu zangu zote,hakuna kipande cha ardhi kilichoko makete kisicho na thamani.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Jackson</title>
		<link>http://www.piuma-simba.org/site/2009/08/28/upimaji-wa-aridhi/#comment-4143</link>
		<dc:creator>Jackson</dc:creator>
		<pubDate>Tue, 01 Sep 2009 07:16:32 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.piuma-simba.org/site/?p=729#comment-4143</guid>
		<description>Kweli Kaka Malila, watu wengi sasa hivi hawajajua thamani iliyopo kwenye wilaya hii, mvua karibu mwaka mzima, huwezi amini kuwa hizi picha zimepigwa kiangazi mwezi wa Saba lakini unaona hiyo ever green? Kuna umuhimu wa wana Makete kuiindeleza wilaya yao, milima isiwe kikwazo bali iwe ni nyenzo.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Kweli Kaka Malila, watu wengi sasa hivi hawajajua thamani iliyopo kwenye wilaya hii, mvua karibu mwaka mzima, huwezi amini kuwa hizi picha zimepigwa kiangazi mwezi wa Saba lakini unaona hiyo ever green? Kuna umuhimu wa wana Makete kuiindeleza wilaya yao, milima isiwe kikwazo bali iwe ni nyenzo.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: malila</title>
		<link>http://www.piuma-simba.org/site/2009/08/28/upimaji-wa-aridhi/#comment-4135</link>
		<dc:creator>malila</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 31 Aug 2009 14:38:29 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.piuma-simba.org/site/?p=729#comment-4135</guid>
		<description>Nawaomba ndugu zangu huko Makete msikubali kuuza ardhi kienyeji kwa watu msiowajua. Tulio nje ya Makete tunajua jinsi ardhi ya Makete ilivyo na thamani kubwa,ninyi huko hamjui ni nini kinatokea kwenu kwa sababu vyombo vya habari havifiki. Kapimeni maeneo yenu na mtunze hati zenu vizuri. Kwa wale wanaozunguka Kitulo wajihadhali,wanaozunguka milima ya Mang`oto kule Ibaga kuweni makini sana. Makete itageuka kuwa bidhaa adimu muda si mrefu.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Nawaomba ndugu zangu huko Makete msikubali kuuza ardhi kienyeji kwa watu msiowajua. Tulio nje ya Makete tunajua jinsi ardhi ya Makete ilivyo na thamani kubwa,ninyi huko hamjui ni nini kinatokea kwenu kwa sababu vyombo vya habari havifiki. Kapimeni maeneo yenu na mtunze hati zenu vizuri. Kwa wale wanaozunguka Kitulo wajihadhali,wanaozunguka milima ya Mang`oto kule Ibaga kuweni makini sana. Makete itageuka kuwa bidhaa adimu muda si mrefu.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>

