Monday, December 21st, 2009

Wanachama wa PIUMA wakifanya usafi kwenye jengo lao.

Na Witness Ngumba

 

Wanachama wa PIUMA wiki iliyopita walikuwa wanafanya usafi kwenye jengo lao kwa ajili ya maandalizi ya mkutano mkuu wa mwaka.

 

Akizungumza katibu mkuu Bi. Anna Mwinuka alisema kuwa usafi utafanywa na wanachama walio katika vijiji vya karibu na jengo. Jumla ya wanachama waliofika kwenye usafi walikuwa 17

 

Usafi uliofanyika ulikuwa ni ndani ya jengo na usafi wa nje ya jengo utafanywa kwa siku nyingine na wanachama wote wa PIUMA baada ya jengo lote kuisha.

 

 

 

WanaPIUMA wakifanya usafi

WanaPIUMA wakifanya usafi

Dr. zin zin nae akiwa ndani ya usafi

Dr. zin zin nae akiwa ndani ya usafi

Afisa mtendaji nae akiwa ndani ya kazi

Afisa mtendaji nae akiwa ndani ya kazi

One Response to “Wanachama wa PIUMA wakifanya usafi kwenye jengo lao.”


  1. Rainer Brandl says:

    Very nice, Dr. Zin Zin shouldn’t you work as a doc? ;-), a doc building their own workplace, hey! It seems in Africa there are too many resources ;-o

Leave a Reply