Monday, February 22nd, 2010

Mafunzo ya CUAMM.

 

 Na Evance Seth

 

Katika wilaya ya makete  kuna shirika moja lisilo la kiserikali linaloitwa CUAMM linalotokea mkoani Iringa.

 

Shirika hilo linajishughulisha na  mambo  ya upimaji VCT . Na shirika hilo liliomba kufanya  kazi na mashirika mengine yaliyopo katika wilaya ya makete yanayo jishughulisha  na  mambo ya upimaji.

 

Pia shirika hilo lilitoa mafunzo  mbalimbali yakiwemo mafunzo ya;

1. UANDIKAJI WA RASMU NA MRADI

2. UTAFUTAJI WA VYANZO VYA FEDHA

3. UFUATILIAJI  NA TATHIMINI

 

Mashirika yaliyo shiliki mafunzo hayo ni1.MAKEYODENI , PIUMA, MAWATA5, LCCB, FEMA, IDYDC, SUMASESU, MAHEPO na  MASUPHA.

Na kila shirika liliwakilisha viongozi wane. Na mafundisho hayo  yaliendeshwa  na  WILLIAM YOTHAM -    UNV   na ABRAHAM   SANGA - CHAC.

 

Na  mafunzo hayo  yalifungwa na FLORA  NSEMWA  toka shirika la CUAMM  na kuagana  na kutakiana safari njema pamoja na utendaji wa kazi njema.

 

Leave a Reply