Mafunzo ya CUAMM.
Na Evance Seth
Katika wilaya ya makete kuna shirika moja lisilo la kiserikali linaloitwa CUAMM linalotokea mkoani Iringa.
Shirika hilo linajishughulisha na mambo ya upimaji VCT . Na shirika hilo liliomba kufanya kazi na mashirika mengine yaliyopo katika wilaya ya makete yanayo jishughulisha na mambo ya upimaji.
Pia shirika hilo lilitoa mafunzo mbalimbali yakiwemo mafunzo ya;
1. UANDIKAJI WA RASMU NA MRADI
2. UTAFUTAJI WA VYANZO VYA FEDHA
3. UFUATILIAJI NA TATHIMINI
Mashirika yaliyo shiliki mafunzo hayo ni1.MAKEYODENI , PIUMA, MAWATA5, LCCB, FEMA, IDYDC, SUMASESU, MAHEPO na MASUPHA.
Na kila shirika liliwakilisha viongozi wane. Na mafundisho hayo yaliendeshwa na WILLIAM YOTHAM - UNV na ABRAHAM SANGA - CHAC.
Na mafunzo hayo yalifungwa na FLORA NSEMWA toka shirika la CUAMM na kuagana na kutakiana safari njema pamoja na utendaji wa kazi njema.
