<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	>
<channel>
	<title>Comments on: Nani Amsemee Dr. Jumbe?</title>
	<atom:link href="http://www.piuma-simba.org/site/2011/06/06/nani-amsemee-dr-jumbe/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://www.piuma-simba.org/site/2011/06/06/nani-amsemee-dr-jumbe/</link>
	<description>Just another WordPress weblog</description>
	<pubDate>Sat, 19 May 2012 05:28:29 +0000</pubDate>
	<generator>http://wordpress.org/?v=2.6</generator>
		<item>
		<title>By: Asifiwe Malila</title>
		<link>http://www.piuma-simba.org/site/2011/06/06/nani-amsemee-dr-jumbe/#comment-20202</link>
		<dc:creator>Asifiwe Malila</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 17 Sep 2011 16:32:52 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.piuma-simba.org/site/?p=1008#comment-20202</guid>
		<description>Nimejisikia vibaya baada ya kusoma tukio hili. Mungu peke yake anajua. Nina mipango ya kutembelea BLH na wageni fulani mwaka huu september, pengine nitasikia zaidi.
Kila ninapopata fursa ya kwenda Bulongwa nakutana na jambo baya, mara ya kwanza nilikutana na mzozo wa matumizi mabaya ya fedha na msukosuko ule ukaishia kumtoa Askofu, safari ya pili ndio niliyoonana na Ven Sanga na siku chache baada ya kuonana, Ven alifariki na sasa nakwenda huko,kifo cha Dr ni balaa lingine.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Nimejisikia vibaya baada ya kusoma tukio hili. Mungu peke yake anajua. Nina mipango ya kutembelea BLH na wageni fulani mwaka huu september, pengine nitasikia zaidi.<br />
Kila ninapopata fursa ya kwenda Bulongwa nakutana na jambo baya, mara ya kwanza nilikutana na mzozo wa matumizi mabaya ya fedha na msukosuko ule ukaishia kumtoa Askofu, safari ya pili ndio niliyoonana na Ven Sanga na siku chache baada ya kuonana, Ven alifariki na sasa nakwenda huko,kifo cha Dr ni balaa lingine.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>

